Fahari ya Serengeti

Thursday, December 28, 2017

NGARIBA NGULI AFUNGWA MIAKA 8 NA MWENZAKE MIAKA 4

Ngariba Nguli Wansato Bruna (56)mkazi wa kijiji cha Rung'abure wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara kushoto amehukumiwa kifungo cha miaka 8 leo kwa makosa ya kuwakeketa watoto wa kike kinyume cha sheria

0 comments:

Post a Comment